Jimmy25
kwa mawasiliano nami piga simu namba 0712 081015
Search
Wednesday, November 27, 2013
show me the way brand new single and video toka kwa brown b
Baada ya kipindi kirefu sana kukaa kimnya now amua kutoka tena na ngoma yake mpya ikiambatana na video kali akiongea na jimmy 25 brown b amesema...
Thursday, November 21, 2013
Babu Seya sasa kufia jela

Nguza Viking na mtoto wake Papii wakitoka mahakamani
Mahakama ya Rufaa nchini
Tanzania imetupilia mbali ombi la warufani wawili Nguza Viking na
mwanaye, ambao waliomba mahakama hiyo kufanya marejeo ya uamuzi wake wa
awali wa kuwapata na hatia kama ambavyo hukumu dhidi yao ilivyotolewa na
mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mwaka 2004.
Nguza Viking, maarufu kama Babu Seya na watoto
wake watatu walihukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kubaka na
kulawiti watoto...
Tuesday, November 19, 2013
Thursday, November 14, 2013
Nay wa Mitego kuachia wimbo mpya 'Nakula Ujana' tarehe 20
Hitmaker wa Salam Zao 'Nay wa Mitego' anatarajia kuachia wimbo mpya 'Nakula
Ujana' kwania ya kuwaonyesha watu kwamba...
Saturday, November 9, 2013
KUMBE MZEE WA UPAKO ALISHAINGIA GEREZA LA KEKO AKKIHUSISHWA NA MADAWA YA KULEVYA? SOMA HAPA ALICHOKISEMA
LITOKEA lakini haikuandikwa kwa sababu haikudakwa! Mchungaji wa Kanisa la Maombezi jijini Dar es Salaam (GRC), Lusekelo Anthony ‘Mzee wa Upako’ amekiri kuwa aliwahi kukamatwa na...
Subscribe to:
Posts (Atom)